Blog hii inahusika na utoaji wa elimu ya Afya ya Mama na mtoto na kutoa ushauri bure. Mawasiliano: 0712106789, 0753891441

  • This is default featured slide 1 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 2 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 3 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 4 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 5 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

Ukuaji wa mimba hatua kwa hatua

Utangulizi Kawaida hakuna mwanamke ambaye hatamani kujua maendeleo ya ukuaji wa mtoto wake kuanzia hatua ya awali mimba inapotungwa hadi wakati wa kujifungua. Watu wengi hudhania swala la kujua maendeleo ya ukuaji wa mtoto tumboni ni suala la mjamzito pekee Jambo ambalo...
Share:

Je ,umepanga kushika mimba?je wajua mambo gani ni muhimu kufanya kabla ya kushika mimba?

Utangulizi. Yawezekana wakati huu wewe na mwenza wako mnapanga kupata familia/ mpo Katika mahangaiko ya kutafuta familia /pengine mnatarajia kupata familia hivi karibuni,lakini Kuna mambo kadhaa ambayo ni lazima uyafikirie kabla ya kufanya maamuzi ,Jambo la Kwanza ni lazima...
Share:

Nini husababisha Kipimo Cha mimba kutoa majibu chanya ya uongo?

Utangulizi. Matokeo chanya ya uongo yamekua yakileta athari kwa Wanawake wengi hususani kwa wale ambao wamekuwa wakihangaika kwa muda mrefu kupata ujauzito,Wanawake wengi hufurahi baada ya kupata matokeo chanya lakini furaha hiyo hupotea baada ya kutambua majibu aliyo...
Share:

Nini husababisha kipimo Cha mimba kuonesha majibu hasi ya uongo licha ya kukosa hedhi?

Utangulizi. Mara nyingi mwanamke  anapokosa hedhi japo kwa mwezi mmoja jambo ambalo humjia kichwani mwake ni kwamba huenda labda atakuwa mjamzito,anaweza akahisi kichefuchefu,kutapika ,maumivu kwenye maziwa/ anaweza akapata dalili zote za awali za uwepo wa ujauzito. Baada...
Share:

Utathibitishaje uwepo wa mimba na kwa wakati gani?

Kipimo Cha mimba. Mimba hutokana na muunganiko unao tengenezwa baada ya mbegu ya kiume kukutana na yai,ili mimba iweze kutungwa ni lazima mayai/ yai liachiliwe kutoka katika moja ya vifuko vya mayai, mayai / yai huachiliwa katikati mwa mzunguko wa hedhi,pia mzunguko...
Share:

Lini naweza kujifungua baada ya kushika mimba?

Jinsi ya kutambua tarehe ya matazamio ya kujifungua. Kwa kawaida huchukua takribani miezi tisa hadi kumi tangu kutungwa kwa mimba hadi kujifungua. Mimba hukadiriwa kutungwa katika tarehe ya kuanza kuona damu/ hedhi kwa mara ya mwisho,tarehe ya kwanza ya kuona hedhi kwa...
Share:

Tahadhari matumizi ya dawa Wakati wa ujauzito⚠️⚠️⚠️⚠️

Matumizi ya dawa Wakati wa ujauzito. Kipindi Cha mimba ni kipindi ambacho hudumu kwa muda wa wiki 36 hadi wiki 42,katika kipindi hiki mtoto hutegemea kila kitu kutoka kwa Mama katika ukuaji na maendeleo yake tumboni. Kipindi Cha miezi mitatu ya mwanzo mtoto hukua...
Share:
Powered by Blogger.